Saturday 24 December 2011

MERRY CHRISTMAS




TRENDY PERFUMES TZ INAWATAKIAWOTE  HERI YA CHRISTMAS. MUNGU AWE PAMOJA NANYI KATIKA KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU, HASA KWA WALE WALIOATHIRIKA NA MAFURIKO KWA NJIA MOJA AMA NYINGINE.

SIKUKUU NJEMA NA MAANDALIZI MEMA YA KUFUNGA MWAKA 2011

Thursday 22 December 2011

MSHINDI WA ZAWADI YA XMAS


TRENDY PERFUMES TZ BLOG INAYOFURAHA KUTANGAZA KWAMBA ZAWADI YA CHRISTMAS KAMA ISHARA YA UPENDO KWA WADAU WETU WOTE IMETOLEWA KWA MARIAM NA SALMA.

TUMEAMUA KUTOA ZAWADI KWA PERFUMISTAS WOTE WAWILI KWANI NDIO PEKEE WALIOSHIKI DRAW .

HONGERA MARIAM NA SALMA.


MTAPOKEA SIMU LEO (KUPITIA NAMBA MLIZOTOA) ILI MUWEZE ELEKEZWA NI WAPI PA KWENDA CHAGUA ZAWADI YA CHUPA MOJA YA PERFUME YA CHAGUO LAKO TOKA KWENYE PERFUME ZETU ZA FM COLLECTION.

TRENDY PERFUME TZ INAWATAKIA WADAU WETU WOTE MAANDALIZI MEMA YA XMAS NA MWAKA MPYA.

Wednesday 21 December 2011

POLE KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO DAR

_3••Cleo™.jpg


TRENDY PERFUMES TZ INATOA POLE KWA WALE WOTE WALIOATHIRIKA NA MAFURIKO. TUNAMUOMBA MUNGU AEPUSHE MAAFA ZAIDI NA KUWAFARIJI WALIOPOTEZA NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA MALI ZAO IKIWEMO KUKOSA MAKADHI NA CHAKULA.

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE, AMEN.

ZAWADI YA PERFUME INATOLEWA KESHO

PERFUMISTAS KUINGIA KWENYE DRAW YA KUSHINDA ZAWADI YA XMAS NA KUWAKILSHA WADAU WA TRENDY PERFUMES TZ MWISHO NI LEO. KESHO MSHINDI ATAWEKWA HAPA NA KUPEWA MAELEZO YOTE YA JINSI YA KUPATA ZAWADI YAKE KABLA YA XMAS YENYEWE.

BADO HAUJACHELEWA. TOA MAONI YAKO SASA KUINGIA. UNAWEZA KUWA WEWE.



TOKA TRENDY PERFUMES TZ. TUNAWAPENDA WOTE

Tuesday 20 December 2011

2012 STATEMENT HANDBAGS ZINAUZWA DAR

JIPATIE POCHI YAKO ILIYO KWENYE TRENDY 2012 KATI YA HIZI STATEMENT BAGS. KUMBUKA POCHI HIZI NI INGIZO JIPYA TAYARI KWA MWAKA MPYA NA NI GO ANYWHERE BAG, ZITAKAMILISHA MUONEKANO WAKO POPOTE IWE KAZINI, MTOKO JIONI AU MATEMBEZI YA KAWAIDA TU . HAHIKA UTAONEKANA SMART WAKATI WOTE. KUNA RANGI ZA KILA AINA BILA KUSAHAU MNYAMA. 


JUU NI BAADHI TU. CLUTCHES NAZO ZIPO. WAHI YAKO LEO KABLA HAZIJAISHA.  KUONA ZAIDI AU KUNUNUA WASILIANA NA MIRIAM AU GRACE
KUPITIA SIMU NAMBA 0782636363/ 0714545454
KARIBUNI

Sunday 18 December 2011

Trendy Perfumes Tz kutoa perfume kama zawadi ya xmas kwa wadau





Imebaki wiki moja kabla hatujasherehekea sikukuu ya xmas. kama ilivyokawaida huu ni wakati wa kutoa na kupokea zawadi toka kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Trendy Perfumes Tz inazawadi ya chupa moja ya perfume ya kutoa kwa mdau atakaebahatika kushinda na kuwakilisha wadau wote wapendwa wa blog hii ya perfumistas.

KUINGIA KWENYE SHINDANO:
Toa comment yako kwenye poll ya leo. Mshindi atachaguliwa randomly. Ni vizuri kutoa jina ili iwe rahisi kumtapata mshindi kwani kila mtu akiwa anonymous itakuwa vigumu kumpatia muhusika zawadi yake. Ni viruri pia kuacha namba ya simu au email ili ukishinda ujulishwe mara moja ni wapi uende kuchukua zawadi yako (Contact zako hazitarushwa kwenye blog).

Trendy Perfumes tz inajali na kushukuru wadau wote wanaotembelea blog ndani na nje ya tanzania, lakini kwa sababu zisizoweza zuilika shindano liko wazi kwa wadau wa tanzania pekee kwa sasa. Tunaangalia jinsi ya kushirikisha wadau wote kwa wakati ujao kwani tunathamini wadau wote bila ubaguzi.

WEEKEND POLL YENYEWE NDIO HII:

JE, KAMA SANTA ANGEKUACHIA ZAWADI YA PERFUME CHINI YA MTI WAKO WA CHRISTMAS, BILA KUJALI BEI AU KIKWAZO CHOCHOTE, UNGEMWAMBIA AKUACHIE PERFUME GANI? NA KWA NINI?
Mfano kwa sababu inanukia vizuri, iko kwenye nzuri, ukiitumia inakufanya uwe na furaha au confidence, au ukiitumia unasifiwa sana au ni bei nafuu au sababu nyingine yoyote uliyonayo.

SHINDANO MWISHO NI JUMATANO USIKU. NA MSINDI ATATANGAZWA HAPA  ALHAMIS

GOOD LUCK NA WEEK END NJEMA